Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+