17 Nami ninajua vema, Ee Mungu wangu, kwamba wewe ni mchunguzaji wa moyo,+ nawe unafurahia unyoofu.+ Nami katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, na sasa watu wako waliopo hapa nimefurahi kuona wakikutolea matoleo kwa hiari.
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+