Methali 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+ Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+ Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu. Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+