Zaburi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa mtu anayebaki safi utakuwa safi;+Na kwa mpotovu utakuwa mwenye hila;+ Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+ Methali 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hiyo ndiyo sababu msiba wake utakuja ghafula;+ atavunjwa ghafula, wala hatapona.+
32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+