Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova huchukia;+ naam, vitu saba vinachukiza nafsi yake:+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Methali 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+

  • Luka 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo akawaambia: “Ninyi ni wale mnaojitangaza kuwa waadilifu mbele ya macho ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo+ yenu; kwa sababu kilichoinuka sana kati ya wanadamu ni chukizo machoni pa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki