Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+

  • 1 Wafalme 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati huo Adoniya+ mwana wa Hagithi+ alikuwa akijiinua,+ akisema: “Ni mimi nitakayetawala nikiwa mfalme!”+ Naye akajitengenezea gari pamoja na wapanda-farasi 50 wanaokimbia mbele yake.+

  • Zaburi 101:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+

      Huyo ninamnyamazisha.+

      Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+

      Huyo siwezi kumvumilia.+

  • Methali 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila mtu mwenye kiburi moyoni ni chukizo kwa Yehova.+ Mkono unaweza kuungana na mkono, hata hivyo mtu hatakosa adhabu.+

  • Wagalatia 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki