Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • Zaburi 50:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Unaketi na kusema vibaya juu ya ndugu yako mwenyewe,+

      Juu ya mwana wa mama yako unafichua kosa.+

  • Methali 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+

  • Tito 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Vivyo hivyo wanawake wenye umri mkubwa+ wawe wenye tabia ya kumhofu Mungu, si wachongezi,+ wala si watumwa wa divai nyingi sana, wawe walimu wa yaliyo mema;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki