Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+

      Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+

      Wala hakumshutumu rafiki yake.+

  • Methali 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+

  • 1 Timotheo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vivyo hivyo wanawake wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye uchongezi,+ wawe wenye kiasi+ katika mazoea, waaminifu katika mambo yote.+

  • 2 Timotheo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 wasio na upendo wa asili,+ wasiotaka makubaliano yoyote,+ wachongezi,+ wasiojizuia, wakali,+ wasiopenda wema,+

  • Tito 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Vivyo hivyo wanawake wenye umri mkubwa+ wawe wenye tabia ya kumhofu Mungu, si wachongezi,+ wala si watumwa wa divai nyingi sana, wawe walimu wa yaliyo mema;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki