11 Vivyo hivyo wanawake wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye uchongezi,+ wawe wenye kiasi+ katika mazoea, waaminifu katika mambo yote.+
3 Vivyo hivyo wanawake wenye umri mkubwa+ wawe wenye tabia ya kumhofu Mungu, si wachongezi,+ wala si watumwa wa divai nyingi sana, wawe walimu wa yaliyo mema;