Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wanaume hao wakamwambia: “Nafsi zetu na zife badala yenu!+ Ikiwa hamtasema juu ya hii shughuli yetu, itatukia kwamba wakati Yehova atakapotupa nchi hii, sisi pia tutakutendea kwa fadhili zenye upendo na kwa uaminifu.”+

  • Yoshua 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nawe ukitoa habari ya hii shughuli yetu,+ sisi pia hatutakuwa na hatia kuhusiana na hiki kiapo chako ulichotuapisha.”

  • Yeremia 38:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baadaye wakuu wote wakamjia Yeremia na kuanza kumuuliza maswali. Yeye naye akawaambia kulingana na maneno hayo yote ambayo mfalme alikuwa ameamuru.+ Kwa hiyo wakanyamaza mbele yake, kwa maana habari hiyo haikusikiwa.

  • Mathayo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata hivyo, Yosefu mume wake, kwa sababu alikuwa mwadilifu na hakutaka kumtia aibu mbele ya watu,+ alikusudia kumtaliki+ kwa siri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki