Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na walinzi wakaona mtu akitoka katika jiji. Kwa hiyo wakamwambia: “Tafadhali tuonyeshe njia ya kuingia ndani ya jiji, nasi hakika tutakutendea fadhili.”+

  • 1 Samweli 30:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Daudi akamwambia: “Je, utaniongoza, nishuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji?” Naye akasema: “Niapie+ kwa Mungu kwamba hutaniua, wala kunitia mkononi mwa bwana wangu,+ nami nitakuongoza, ushuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji.”

  • Mathayo 10:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki