Yoshua 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikawa wakati wa kufungwa kwa lango,+ kulipokuwa na giza, wanaume wale wakatoka. Wala sijui walikokwenda. Wafuatilieni haraka, kwa maana mtawafikia.” Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
5 Ikawa wakati wa kufungwa kwa lango,+ kulipokuwa na giza, wanaume wale wakatoka. Wala sijui walikokwenda. Wafuatilieni haraka, kwa maana mtawafikia.”
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+