Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Zaburi 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Linda ulimi wako na yaliyo mabaya,+Na midomo yako isiseme udanganyifu.+ Zaburi 101:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+ Methali 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+ Methali 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+ Methali 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usimchongee mtumishi kwa bwana wake,+ asije akakulaani, nawe usihesabiwe kuwa na hatia.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+
13 Mtu anayetembea huku na huku akiwa mchongezi+ anafunua mazungumzo ya siri,+ lakini mtu mwaminifu katika roho anafunika jambo.+
19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+