Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+ Methali 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Midomo ya uwongo ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wanaotenda kwa uaminifu ni furaha kwake.+ Wakolosai 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake, 1 Petro 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, ondoeni ubaya+ wote na udanganyifu wote na unafiki na wivu na namna zote za masengenyo,+