Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Zaburi 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+ Luka 22:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Nao wakaendelea kusema mambo mengine mengi ya kumkufuru.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+