Zaburi 44:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa sababu ya sauti ya mtu anayeshutumu na kusema vibaya,Kwa sababu ya adui na mtu anayejilipizia kisasi.+ Isaya 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+
16 Kwa sababu ya sauti ya mtu anayeshutumu na kusema vibaya,Kwa sababu ya adui na mtu anayejilipizia kisasi.+
7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+