Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 15:1

Marejeo

  • +1Sa 8:11; 1Fa 1:5; Met 11:2

2 Samweli 15:2

Marejeo

  • +Met 1:16
  • +Kum 22:15; 25:7; Ru 4:1
  • +1Sa 8:20; 2Sa 8:15

2 Samweli 15:3

Marejeo

  • +Zb 12:2; Met 30:17; Mt 15:4; 2Pe 2:10

2 Samweli 15:4

Marejeo

  • +Kut 20:17; Met 25:6; Mk 7:22
  • +Zb 12:2; Met 27:2; 2Pe 2:19

2 Samweli 15:5

Marejeo

  • +Zb 10:9; 55:21; Met 26:25

2 Samweli 15:6

Marejeo

  • +Met 11:9; Ro 16:18; 2Pe 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2012, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 7/15 13

2 Samweli 15:7

Marejeo

  • +2Sa 3:2
  • +Met 21:27

2 Samweli 15:8

Marejeo

  • +Law 22:21
  • +2Sa 13:38; 14:23
  • +Yer 9:3

2 Samweli 15:9

Marejeo

  • +1Sa 1:17

2 Samweli 15:10

Marejeo

  • +2Sa 13:28; 14:30
  • +Ayu 20:5; Zb 73:18; Mik 7:6; Mt 23:12
  • +2Sa 2:1; 5:1, 5; 1Nya 3:4

2 Samweli 15:11

Marejeo

  • +Ro 16:18

2 Samweli 15:12

Marejeo

  • +2Sa 16:23; 17:14
  • +2Sa 23:34
  • +Zb 41:9; 55:13; Mik 7:5; Yoh 13:18
  • +Yos 15:51
  • +2Fa 12:20; 17:4; 2Nya 25:27
  • +Zb 3:1; 43:1; Met 24:21

2 Samweli 15:13

Marejeo

  • +Amu 9:3

2 Samweli 15:14

Marejeo

  • +2Sa 19:9; Zb 3:utangulizi; Met 19:26
  • +2Sa 12:11

2 Samweli 15:15

Marejeo

  • +Met 18:24; Lu 22:28; Yoh 15:14; 1Ko 4:2

2 Samweli 15:16

Marejeo

  • +Amu 4:10; 1Sa 25:27
  • +2Sa 12:11; 16:21; 20:3

2 Samweli 15:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 27

2 Samweli 15:18

Marejeo

  • +2Sa 8:18; 20:7; 1Fa 1:38; 1Nya 18:17
  • +Yos 13:3
  • +1Sa 27:4; 1Nya 18:1

2 Samweli 15:19

Marejeo

  • +2Sa 18:2
  • +Ru 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 27

2 Samweli 15:20

Marejeo

  • +Ebr 11:38
  • +Zb 25:10; 57:3; 61:7; 85:10; 89:14
  • +2Sa 2:6

2 Samweli 15:21

Marejeo

  • +1Sa 20:3; 25:26
  • +Ru 1:17; Met 17:17; 18:24; Mt 8:19

2 Samweli 15:22

Marejeo

  • +2Sa 18:2

2 Samweli 15:23

Marejeo

  • +Ro 12:15
  • +1Fa 2:37; 2Nya 30:14; Yoh 18:1

2 Samweli 15:24

Marejeo

  • +2Sa 8:17; 20:25; 1Fa 1:8; 2:35; 4:2; 1Nya 6:8
  • +Hes 8:19; 1Nya 23:32
  • +Hes 4:15; 7:9; 1Sa 4:4; 1Nya 15:2
  • +Kut 37:1; Law 16:2
  • +1Sa 22:20; 30:7

2 Samweli 15:25

Marejeo

  • +2Sa 6:17
  • +1Sa 4:3
  • +2Sa 7:2; Zb 26:8; 27:4

2 Samweli 15:26

Marejeo

  • +1Sa 3:18; 1Pe 5:6

2 Samweli 15:27

Marejeo

  • +1Sa 9:9; 2Nya 16:7
  • +2Sa 17:17

2 Samweli 15:28

Marejeo

  • +2Sa 15:36; 17:16, 21

2 Samweli 15:30

Marejeo

  • +Mt 21:1; 24:3; Lu 19:29; Mdo 1:12
  • +Est 6:12; Yer 14:3
  • +Ro 12:15

2 Samweli 15:31

Marejeo

  • +Zb 41:9; 55:12; Mt 26:15; Yoh 13:18
  • +Zb 3:utangulizi
  • +Flp 4:6
  • +Zb 3:7; 50:15
  • +2Sa 16:23; 17:14; Ayu 12:20; 1Ko 3:19

2 Samweli 15:32

Marejeo

  • +2Sa 16:16
  • +Yos 16:2
  • +1Sa 4:12; 2Sa 1:2

2 Samweli 15:33

Marejeo

  • +2Sa 19:35

2 Samweli 15:34

Marejeo

  • +2Sa 16:19
  • +2Sa 17:7, 14

2 Samweli 15:35

Marejeo

  • +2Sa 17:15
  • +2Sa 17:16

2 Samweli 15:36

Marejeo

  • +2Sa 15:27; 18:19
  • +2Sa 17:17; 1Fa 1:42

2 Samweli 15:37

Marejeo

  • +2Sa 16:16; 1Nya 27:33; Met 17:17
  • +2Sa 16:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 15:11Sa 8:11; 1Fa 1:5; Met 11:2
2 Sam. 15:2Met 1:16
2 Sam. 15:2Kum 22:15; 25:7; Ru 4:1
2 Sam. 15:21Sa 8:20; 2Sa 8:15
2 Sam. 15:3Zb 12:2; Met 30:17; Mt 15:4; 2Pe 2:10
2 Sam. 15:4Kut 20:17; Met 25:6; Mk 7:22
2 Sam. 15:4Zb 12:2; Met 27:2; 2Pe 2:19
2 Sam. 15:5Zb 10:9; 55:21; Met 26:25
2 Sam. 15:6Met 11:9; Ro 16:18; 2Pe 2:3
2 Sam. 15:72Sa 3:2
2 Sam. 15:7Met 21:27
2 Sam. 15:8Law 22:21
2 Sam. 15:82Sa 13:38; 14:23
2 Sam. 15:8Yer 9:3
2 Sam. 15:91Sa 1:17
2 Sam. 15:102Sa 13:28; 14:30
2 Sam. 15:10Ayu 20:5; Zb 73:18; Mik 7:6; Mt 23:12
2 Sam. 15:102Sa 2:1; 5:1, 5; 1Nya 3:4
2 Sam. 15:11Ro 16:18
2 Sam. 15:122Sa 16:23; 17:14
2 Sam. 15:122Sa 23:34
2 Sam. 15:12Zb 41:9; 55:13; Mik 7:5; Yoh 13:18
2 Sam. 15:12Yos 15:51
2 Sam. 15:122Fa 12:20; 17:4; 2Nya 25:27
2 Sam. 15:12Zb 3:1; 43:1; Met 24:21
2 Sam. 15:13Amu 9:3
2 Sam. 15:142Sa 19:9; Zb 3:utangulizi; Met 19:26
2 Sam. 15:142Sa 12:11
2 Sam. 15:15Met 18:24; Lu 22:28; Yoh 15:14; 1Ko 4:2
2 Sam. 15:16Amu 4:10; 1Sa 25:27
2 Sam. 15:162Sa 12:11; 16:21; 20:3
2 Sam. 15:182Sa 8:18; 20:7; 1Fa 1:38; 1Nya 18:17
2 Sam. 15:18Yos 13:3
2 Sam. 15:181Sa 27:4; 1Nya 18:1
2 Sam. 15:192Sa 18:2
2 Sam. 15:19Ru 1:8
2 Sam. 15:20Ebr 11:38
2 Sam. 15:20Zb 25:10; 57:3; 61:7; 85:10; 89:14
2 Sam. 15:202Sa 2:6
2 Sam. 15:211Sa 20:3; 25:26
2 Sam. 15:21Ru 1:17; Met 17:17; 18:24; Mt 8:19
2 Sam. 15:222Sa 18:2
2 Sam. 15:23Ro 12:15
2 Sam. 15:231Fa 2:37; 2Nya 30:14; Yoh 18:1
2 Sam. 15:242Sa 8:17; 20:25; 1Fa 1:8; 2:35; 4:2; 1Nya 6:8
2 Sam. 15:24Hes 8:19; 1Nya 23:32
2 Sam. 15:24Hes 4:15; 7:9; 1Sa 4:4; 1Nya 15:2
2 Sam. 15:24Kut 37:1; Law 16:2
2 Sam. 15:241Sa 22:20; 30:7
2 Sam. 15:252Sa 6:17
2 Sam. 15:251Sa 4:3
2 Sam. 15:252Sa 7:2; Zb 26:8; 27:4
2 Sam. 15:261Sa 3:18; 1Pe 5:6
2 Sam. 15:271Sa 9:9; 2Nya 16:7
2 Sam. 15:272Sa 17:17
2 Sam. 15:282Sa 15:36; 17:16, 21
2 Sam. 15:30Mt 21:1; 24:3; Lu 19:29; Mdo 1:12
2 Sam. 15:30Est 6:12; Yer 14:3
2 Sam. 15:30Ro 12:15
2 Sam. 15:31Zb 41:9; 55:12; Mt 26:15; Yoh 13:18
2 Sam. 15:31Zb 3:utangulizi
2 Sam. 15:31Flp 4:6
2 Sam. 15:31Zb 3:7; 50:15
2 Sam. 15:312Sa 16:23; 17:14; Ayu 12:20; 1Ko 3:19
2 Sam. 15:322Sa 16:16
2 Sam. 15:32Yos 16:2
2 Sam. 15:321Sa 4:12; 2Sa 1:2
2 Sam. 15:332Sa 19:35
2 Sam. 15:342Sa 16:19
2 Sam. 15:342Sa 17:7, 14
2 Sam. 15:352Sa 17:15
2 Sam. 15:352Sa 17:16
2 Sam. 15:362Sa 15:27; 18:19
2 Sam. 15:362Sa 17:17; 1Fa 1:42
2 Sam. 15:372Sa 16:16; 1Nya 27:33; Met 17:17
2 Sam. 15:372Sa 16:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 15:1-37

2 Samweli

15 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu akaagiza atengenezewe gari, pamoja na farasi na watu 50 wenye kukimbia mbele yake.+ 2 Na Absalomu akaamka mapema,+ akasimama upande ule wa barabara unaoelekea langoni.+ Na ikawa kwamba, mtu yeyote akiwa na kesi ya kuja kwa mfalme ili iamuliwe,+ Absalomu alikuwa akimwita na kusema: “Wewe ni mtu wa kutoka jiji gani?” naye akasema: “Mtumishi wako anatoka katika moja la makabila ya Israeli.” 3 Naye Absalomu humwambia: “Tazama, mambo yako ni mema na manyoofu; lakini hakuna yeyote wa kutoka kwa mfalme anayekusikiliza.”+ 4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+

5 Pia ilikuwa ikitukia kwamba mtu alipomkaribia ili kumwinamia, alinyoosha mkono wake na kumshika+ na kumbusu. 6 Na Absalomu akaendelea kuwafanyia jambo kama hilo Waisraeli wote waliokuwa wakija kwa mfalme ili kuamuliwa; na Absalomu akaendelea kuiba mioyo ya watu wa Israeli.+

7 Na ikawa kwamba mwishoni mwa miaka 40, Absalomu akamwambia mfalme: “Tafadhali, acha niende, nitimize katika Hebroni+ nadhiri yangu niliyoifanya rasmi kwa Yehova.+ 8 Kwa maana mtumishi wako alifanya nadhiri+ rasmi nilipokuwa nikikaa Geshuri+ katika Siria, nikisema, ‘Hakika Yehova akinirudisha Yerusalemu, ndipo nitakapomtolea Yehova utumishi.’”+ 9 Basi mfalme akamwambia: “Nenda kwa amani.”+ Naye akaondoka, akaenda Hebroni.

10 Sasa Absalomu akatuma wapelelezi+ katika nchi yote ya Israeli, akisema: “Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, ninyi pia mseme, ‘Absalomu amekuwa mfalme+ katika Hebroni!’”+ 11 Basi watu mia mbili walikuwa wameenda pamoja na Absalomu kutoka Yerusalemu, wakiwa wameitwa na kwenda bila habari,+ nao hawakujua jambo hata moja. 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.

13 Baada ya muda mleta-habari akaja kwa Daudi, akisema: “Moyo+ wa watu wa Israeli umekuwa nyuma ya Absalomu.” 14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+ 15 Ndipo watumishi wa mfalme wakamwambia mfalme: “Kulingana na yote ambayo bwana wetu mfalme atachagua, tazama, sisi ni watumishi wako.”+ 16 Basi mfalme akatoka, pamoja na watu wote wa nyumbani mwake wakimfuata miguuni pake,+ na mfalme akawaacha wanawake kumi, masuria,+ ili waitunze nyumba. 17 Na mfalme akaendelea kutoka pamoja na watu wote wakimfuata miguuni pake; nao wakaja kusimama kule Beth-merhaki.

18 Na watumishi wake wote walikuwa wakivuka kando yake; na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu mia sita waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ walikuwa wakivuka mbele ya uso wa mfalme. 19 Ndipo mfalme akamwambia Itai+ Mgathi: “Kwa nini wewe pia uende pamoja nasi? Rudi,+ ukae na mfalme; kwa maana wewe ni mgeni, na tena, wewe ni mhamishwa kutoka mahali pako. 20 Ulikuja jana tu na je, leo nikufanye utange-tange+ pamoja nasi, uende wakati ninapoenda na popote ninapoenda? Rudi, na uwachukue ndugu zako urudi pamoja nao, na Yehova akuonyeshe fadhili zenye upendo+ na uaminifu!”+ 21 Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema: “Kama Yehova anavyoishi na kama anavyoishi+ bwana wangu mfalme, mahali atakapokuwa bwana wangu mfalme, iwe ni kifo ama ni uzima, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa!”+ 22 Kwa hiyo Daudi akamwambia Itai:+ “Nenda uvuke.” Basi Itai Mgathi akavuka, na pia watu wake wote na watoto wadogo wote waliokuwa pamoja naye.

23 Na watu wote wa nchi wakalia kwa sauti kubwa,+ na watu wote wakavuka, na mfalme alikuwa amesimama kando ya bonde la mto la Kidroni,+ na watu wote wakavuka kwenye barabara pana inayoelekea nyikani. 24 Na tazama, pia Sadoki+ alikuwapo na Walawi+ wote pamoja naye wakiwa wamelichukua+ sanduku+ la agano la Mungu wa kweli; nao wakaliweka chini sanduku la Mungu wa kweli kando ya Abiathari+ mpaka watu wote walipomaliza kuvuka kutoka jijini. 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+ 26 Lakini akisema, ‘Sikupendezwa nawe,’ basi, mimi hapa, na anifanyie yaliyo mema machoni pake.”+ 27 Na mfalme akaendelea kumwambia Sadoki kuhani: “Wewe ni mwonaji, sivyo?+ Rudi jijini kwa amani, na pia Ahimaazi mwana wako na Yonathani+ mwana wa Abiathari, wana wenu wawili, pamoja nanyi. 28 Tazama, nitangoja kando ya vivuko vya nyikani mpaka neno la kunipasha habari lije kutoka kwenu.”+ 29 Basi Sadoki na Abiathari wakarudisha sanduku la Mungu wa kweli Yerusalemu, nao wakaendelea kukaa huko.

30 Naye Daudi alikuwa akipanda kupitia mpando wa Mizeituni,+ akilia alipokuwa akipanda, kichwa chake kikiwa kimefunikwa;+ naye alikuwa akitembea miguu wazi, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafunika vichwa vyao, kila mmoja wao, wakapanda juu, wakalia walipokuwa wakipanda.+ 31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+

32 Na ikawa kwamba Daudi alipofika kwenye kilele ambapo kwa kawaida watu walikuwa wakimwinamia Mungu, tazama, Hushai+ Mwarki,+ akija kumpokea, kanzu yake ikiwa imeraruliwa na kukiwa na vumbi kichwani pake.+ 33 Hata hivyo, Daudi akamwambia: “Ukivuka kwenda pamoja nami, hakika utakuwa mzigo kwangu.+ 34 Lakini ukirudi jijini nawe umwambie Absalomu, ‘Mimi ni mtumishi wako, Ee mfalme. Nilikuwa mtumishi wa baba yako wakati ule, naam mimi, lakini sasa mimi, naam mimi, ni mtumishi wako,’+ ndipo utavunja+ shauri la Ahithofeli kwa ajili yangu. 35 Je, Sadoki na Abiathari, makuhani, hawako huko pamoja nawe?+ Na itatukia kwamba kila jambo ambalo huenda ukalisikia kutoka katika nyumba ya mfalme, utamwambia Sadoki na Abiathari, makuhani.+ 36 Tazama! Huko pamoja nao kuna wana wao wawili, Ahimaazi+ wa Sadoki na Yonathani+ wa Abiathari; nanyi mwatumie hao kuniletea kila jambo ambalo huenda mkalisikia.” 37 Basi Hushai, rafiki+ ya Daudi, akaingia jijini. Absalomu+ naye akaingia Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki