2 Samweli 13:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Absalomu akakimbia, akafika Geshuri;+ naye akakaa huko miaka mitatu. 2 Samweli 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri,+ akamleta Absalomu Yerusalemu.+