Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi, walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake,+

  • Mathayo 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+

  • Luka 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni,+ akatuma wawili kati ya wanafunzi,+

  • Matendo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo wakarudi+ Yerusalemu kutoka katika mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, ukiwa ni umbali wa safari ya siku ya sabato.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki