Mathayo 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+ Mathayo 24:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana kama vile siku za Noa+ zilivyokuwa, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+ Mathayo 24:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 nao hawakujali mpaka gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.
27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+
39 nao hawakujali mpaka gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.