Marko 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Walipokuwa wakikaribia kufika Yerusalemu, Bethfage na Bethania+ kwenye Mlima wa Mizeituni, akatuma wawili kati ya wanafunzi wake+ Luka 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni,+ akatuma wawili kati ya wanafunzi,+
11 Walipokuwa wakikaribia kufika Yerusalemu, Bethfage na Bethania+ kwenye Mlima wa Mizeituni, akatuma wawili kati ya wanafunzi wake+
29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni,+ akatuma wawili kati ya wanafunzi,+