Mathayo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake,+ Luka 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni,+ akatuma wawili kati ya wanafunzi,+
21 Basi, walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake,+
29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni,+ akatuma wawili kati ya wanafunzi,+