Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.

  • Mathayo 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+

  • Marko 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo yote haya yanakusudiwa kufikia mwisho?”+

  • Luka 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo wakamuuliza, wakisema: “Mwalimu, kwa kweli mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo hayo yatatukia?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki