Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika. Mathayo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+ Marko 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo yote haya yanakusudiwa kufikia mwisho?”+ Luka 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo wakamuuliza, wakisema: “Mwalimu, kwa kweli mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo hayo yatatukia?”+
39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.
20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo yote haya yanakusudiwa kufikia mwisho?”+
7 Ndipo wakamuuliza, wakisema: “Mwalimu, kwa kweli mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo hayo yatatukia?”+