Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+ Yohana 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akajibu, akamwambia: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika+ neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi hakika tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+ 1 Timotheo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwamba uishike amri katika njia isiyo na doa na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo.
24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+
23 Yesu akajibu, akamwambia: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika+ neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi hakika tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
14 kwamba uishike amri katika njia isiyo na doa na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo.