8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi-sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa+ chake na kumfanya kuwa si kitu kwa ufunuo+ wa kuwapo kwake.+
8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.