15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,
8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.