Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,

  • 2 Timotheo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nakuagiza kwa uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu,+ ambaye amekusudiwa kuhukumu+ walio hai na wafu,+ na kwa ufunuo+ wake na ufalme wake,

  • 2 Timotheo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tangu wakati huu na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu+ katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia na wale wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki