44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
14 Hawa watapigana na Mwana-Kondoo,+ lakini, kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwana-Kondoo atawashinda.+ Pia, wale walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu pamoja naye watawashinda.”+