-
Ufunuo 17:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 Hawa watapigana na Mwana-Kondoo, lakini, kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme, Mwana-Kondoo atawashinda. Pia, wale walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu pamoja naye watafanya hivyo.”
-