Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ Matendo 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo, nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu alimfanya Bwana+ na pia Kristo, Yesu huyu ambaye ninyi mlimuua kwenye mti.”+ 1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+
36 Kwa hiyo, nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu alimfanya Bwana+ na pia Kristo, Yesu huyu ambaye ninyi mlimuua kwenye mti.”+
15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+