Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba anampenda Mwana+ naye amekabidhi vitu vyote mkononi mwake.+ Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+