Matendo 2:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu alimfufua, Yesu huyu, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.+ 33 Kwa hiyo, kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki mnachoona na kusikia. Wafilipi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+
32 Mungu alimfufua, Yesu huyu, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.+ 33 Kwa hiyo, kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki mnachoona na kusikia.
9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+