Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni nani atakayewahukumu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, isitoshe yeye ndiye aliyefufuliwa, aliye kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na ambaye pia hutuombea.+

  • Wafilipi 2:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+— 11 na kila ulimi ukiri waziwazi kwamba Yesu Kristo ni Bwana+ kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • 1 Petro 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye yuko kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda mbinguni, nao malaika na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki