20 ambao aliutumia kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu, 21 juu kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo tu, bali pia katika ule unaokuja.