Yohana 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli. Waroma 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu wale aliowatambua kwanza, aliwachagua awali pia wafananishwe na mfano wa Mwana wake,+ ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu wengi.+ Wakolosai 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeye ndiye mfano wa Mungu asiyeonekana,+ mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote;+
14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli.
29 kwa sababu wale aliowatambua kwanza, aliwachagua awali pia wafananishwe na mfano wa Mwana wake,+ ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu wengi.+