Yohana 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana nimewawekea kielelezo, ili mfanye kama nilivyowafanyia.+ Waroma 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo wake.+ 1 Wakorintho 15:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na kama vile ambavyo tumeuchukua mfano wa yule aliyeumbwa kwa mavumbi,+ vivyo hivyo pia tutauchukua mfano wa yule wa mbinguni.+
5 Ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo wake.+
49 Na kama vile ambavyo tumeuchukua mfano wa yule aliyeumbwa kwa mavumbi,+ vivyo hivyo pia tutauchukua mfano wa yule wa mbinguni.+