16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’
14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+