Yohana 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli. Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.*+
14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli.