Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+ 1 Yohana 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivi ndivyo upendo wa Mungu ulivyofunuliwa kwetu, kwamba Mungu alimtuma Mwana wake mzaliwa-pekee+ ulimwenguni ili tupate uzima kupitia yeye.+
16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
9 Hivi ndivyo upendo wa Mungu ulivyofunuliwa kwetu, kwamba Mungu alimtuma Mwana wake mzaliwa-pekee+ ulimwenguni ili tupate uzima kupitia yeye.+