Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 6:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu anayemtambua Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua+ siku ya mwisho.”

  • Yohana 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+

  • Waroma 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+

  • 2 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu,+ ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima ili upate wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+

  • 1 Yohana 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ninawaandikia mambo haya ili ninyi mlio na imani katika jina la Mwana wa Mungu+ mjue kwamba mna uzima wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki