24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+
8 Mnampenda ingawa hamkumwona kamwe. Ijapokuwa hammwoni sasa, bado mnaonyesha imani katika yeye na mnashangilia sana kwa shangwe isiyoelezeka na iliyotukuka, 9 huku mkifikia lengo la* imani yenu, wokovu wenu.*+