16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu anayemtambua Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua+ siku ya mwisho.”