Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, nilionyeshwa rehema ili kupitia mimi nikiwa wa kwanza kabisa, Kristo Yesu aonyeshe subira yake yote, nami niwe mfano kwa wote watakaomwamini ili kupata uzima wa milele.+

  • 1 Yohana 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia mambo haya ili msitende dhambi. Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mtu mwadilifu.+ 2 Naye ni dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya dhambi zetu tu bali pia dhambi za ulimwengu wote.+

  • Yuda 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ili mwendelee kujitunza katika upendo wa Mungu,+ mkingojea Bwana wetu Yesu Kristo awaonyeshe rehema ili hatimaye mpate uzima wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki