Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami nitaweka uadui*+ kati yako+ na mwanamke+ na kati ya uzao wako*+ na uzao wake.*+ Yeye atakuponda* kichwa,+ nawe utamuuma* kisigino.”+

  • Luka 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo akawaambia: “Ninamwona Shetani akiwa tayari ameanguka+ kutoka mbinguni kama radi.

  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi, nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Alikuwa muuaji alipoanza,*+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • 1 Yohana 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mtu aliye na mazoea ya kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.*+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje* kazi za Ibilisi.+

  • Ufunuo 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi yule joka mkubwa+ akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki