Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+

  • Yohana 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 pia kuhusu hukumu, kwa sababu mtawala wa ulimwengu huu amehukumiwa.+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+

  • Ufunuo 12:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na vita vikatokea ghafla mbinguni: Mikaeli*+ na malaika zake wakapigana na yule joka, naye joka na malaika zake wakapigana nao 8 lakini hawakushinda,* wala mahali hapakupatikana tena mbinguni kwa ajili yao. 9 Basi yule joka mkubwa+ akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki