Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+

  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi, nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Alikuwa muuaji alipoanza,*+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+

  • Yakobo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, jitiisheni kwa Mungu;+ lakini mpingeni Ibilisi,+ naye atawakimbia ninyi.+

  • 1 Petro 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tunzeni akili zenu, iweni waangalifu!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki