10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+ 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+