Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mnapaswa kumwogopa+ Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumtumikia yeye,+ nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.+ Kumbukumbu la Torati 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Mnapaswa kumwogopa Yehova Mungu wenu, na kumtumikia yeye,+ mnapaswa kushikamana naye, nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake. Luka 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+
13 Mnapaswa kumwogopa+ Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumtumikia yeye,+ nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.+
20 “Mnapaswa kumwogopa Yehova Mungu wenu, na kumtumikia yeye,+ mnapaswa kushikamana naye, nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.
8 Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+