Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • Yohana 8:44
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 44 Nyinyi mwatoka kwa baba yenu Ibilisi, nanyi mwataka kufanya tamaa za baba yenu. Huyo alikuwa muua-binadamu kikatili wakati alipoanza, naye hakusimama thabiti katika kweli, kwa sababu kweli haimo katika yeye. Wakati asemapo uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.

  • Yohana
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 8:44 w11 3/1 21; w11 3/15 25; w11 9/1 4; w07 2/1 4-5; w07 6/1 4; g 2/07 13; w06 1/15 22; re 11, 14; w01 9/1 5-6

  • Yohana
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 8:44

      Furahia Maisha Milele!, somo la 26

      Mnara wa Mlinzi,

      9/1/2011, kur. 4-5

      3/15/2011, uku. 25

      3/1/2011, uku. 21

      6/1/2007, uku. 4

      2/1/2007, kur. 4-5

      1/15/2006, uku. 22

      9/1/2001, kur. 5-6

      Amkeni!,

      2/2007, uku. 13

      9/8/1990, uku. 17

      Upeo wa Ufunuo, kur. 11, 14

      Neno la Mungu, kur. 152-153

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki