-
Yohana 8:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+
-
-
Yohana 8:44Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
44 Nyinyi mwatoka kwa baba yenu Ibilisi, nanyi mwataka kufanya tamaa za baba yenu. Huyo alikuwa muua-binadamu kikatili wakati alipoanza, naye hakusimama thabiti katika kweli, kwa sababu kweli haimo katika yeye. Wakati asemapo uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.
-