1 Yohana 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye ambaye huendelea kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa,+ yaani, ili azivunje kazi za Ibilisi.+
8 Yeye ambaye huendelea kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa,+ yaani, ili azivunje kazi za Ibilisi.+