15 Kwa njia ya huo, kwa kuzivua na kuziacha uchi serikali na mamlaka,+ alizionyesha hadharani zikiwa zimeshindwa,+ akiziongoza katika maandamano yenye shangwe ya ushindi.+
14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+