15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
8 Yeye ambaye huendelea kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa,+ yaani, ili azivunje kazi za Ibilisi.+